• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

ZIARA PANGANI YAAMSHA HISIA KWA MADIWANI NA WATAALAMU WA HALMASHAURI YA MKURANGA...

Posted on: May 6th, 2021


Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mh. Kambwili Shwahibu  sambamba na timu ya Wataalamu chini ya Mhandisi Mshamu Munde imefanya ziara ya kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya  Pangani kwa lengo la kujifunza shughuli za ukusanyaji wa Mapato yatokanayo na mazao Bahari na Maswala mengine ya uvuvi.

Katika Ziara hiyo Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu walipata fursa ya kuzitembelea  (BMU) zilizopo Pangani Magharibi na Kipumbwi ambazo zimeonekana kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato na usimamizi wa Rasilimali za bahari pamoja na utunzaji wa mazingira ya Bahari na Pwani kwa ujumla.

Wakati wa Ziara timu ya wataalamu hawakusita kutoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Ndg. Isaya Mbenje na Afisa Uvuvi wake kwa namna ambavyo wameweza kushirikiana na (BMU) timu  ya ulinzi shirikishi ya rasilimali za uvuvi na kuweza kukusanya mapato mengi tofauti na matarajio ya kawaida

Aidha Madiwani na wataalamu waliahidi kutumia elimu waliyoipata katika kuamsha hali katika vijiji ambavyo vinafanya shughuli za uvuvi ambavyo tayari vilishakua na timu ya ulinzi shirikishi ya Rasilimali za uvuvi (BMU) ijapokua ilikosa usimamizi wa kina sasa wameahidi kwenda kuzisimamia vyema

“kwa kweli safari yetu kutoka jana mpaka leo imekua ya mafanikio tunashukuru sana, hiki ni kikao cha tatu lakini kila kikao kinakizidi kikao kingine tumefika Pangani Magharibi tukaona namna inavyofanya kazi na pia kusaidia jamii ila ajabu tumefika hapa kipumbwe ndo tumechoka kabisa kumbe tungesema tuishie kule tungekosa mambo ya maana sana. Tukasema au kwa sababu mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa Kipumbwe anatoka hapa ndo mana Kipumbwe mambo mazuri lakini si dhambi ukiwa sehemu uliyopo ukatengeneza mambo mazuri  Zaidi kwa lengo la kusaidia jamii unayoiongoza lakini pia kuacha alama hata baada ya kumaliza uongozi wako”

Naye Mhandisi Munde aliongeza kwa kusema tunakazi kubwa ya kufanya sio tu katika kuunda na kuhamasisha watu kujihusisha na shughuli za BMU lakini pia kuwapa hamasa wananchi kujihusisha  na shughuli zenyewe za uvuvi ili mwisho wa siku hata wanaposhughulikia mapato na kuunda BMU iwe na maana na ilete tija kwa wananchi wa maeneo yaliyozungukwa na bahari.

Munde aliendelea kwa kusema wananchi waliowakuta pale wameonesha kutokua na hofu wala mashaka na Serikali yao na wameonesha kuwa tayari kulipa kodi bila ya ushawishi mkubwa kwa namna ambavyo wameshiba elimu waliyopewa na viongozi wa Kijiji na Wilaya kwa jinsi  wanavyowajibika katika ukusanyaji wa mapato na pia kusimamia vyema  asilimia wanayorejeshewa kwa kuitumia  katika kuleta maendeleo katika vijiji vyao na kwenda mbali kwa  kusaidia kaya zenye uhitaji kwa kuwanunulia Watoto mavazi ya shule na madaftari sambamba na kutumia fedha hizo katika kuboresha miundo mbinu ya Elimu..

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.