Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

‘ZINGATIENI UADILIFU NA WELEDI KATIKA KUKAMILISHA UHAKIKI ’ MKURUGENZI MTENDAJI MKURANGA..

Posted on: June 16th, 2020


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mhandisi MshamuMunde jana  amefungua mafunzo maalumu kwa wawezeshaji watakaoenda   kufanikisha zoezi la uhakiki kwa walengwa wanaofaidika na mradi wa kusaidia kaya masikini (TASAF) unaotarajiwa kuanza mapema mwishoni mwa wiki hii..

Katika hotuba yake Mhandisi Munde alisisitiza kuwa mafunzo haya yanatolewa kwa lengo la kuwapa uelewa na utaratibu wa namna gani uhakiki utafanyika ukizingatia uhakiki wa mwaka huu  unafanywa kwa njia tofauti na vitatumika visukwambi kwa ajii ya uhakiki huo.

Munde alisisitiza kuwa hili zoezi ni la muhimu kwa sababu lengo kubwa ni kuondoa kaya hewa kama zipo ili kuwa na idadi ya watu kamili ambao wanastahili kupata msaada huu

“Katika mazoezi kama haya mara nyingi tunapenda sana uadilifu  wa watendaji ambao wametumwa kufanya hiyo kazi na ndio maana kipindi hiki wakati wa kufanya mafunzo haya tunataka wawezeshaji ambao wataenda kufanya zoezi la uhakiki waape na maana ya kiapo ni kwamba wakishafanya kazi na ikagundulika kuwa ni kazi mbaya watawajibishwa kulingana na kiapo chao” alisisitiza  

Naye  Mkurugenzi wa TASAF ndugu Adslaus Mwamanga ambaye amewakilishwa na bi Mary Mtambalike alisema  tathmini ya utekelezaji wa kipindi cha kwanza cha awamu ya tatu ya TASAF inaonyesha kuwa mpango wa kunusuru kaya Maskini umechangia kwa kiasi kufikiwa azma ya serikali ya kupunguza umaskini nchini.

Sambamba na hili Mwamanga alisisitiza Takwimu zinaonyesha kwamba utekeleza wa mpango kwenye kipindi cha kwanza umechangia kupungua kwa  umaskini wa mahitaji ya msingi kwa kaya kwa asiimia 10 na umasikini uliokithiri umepungua kwa asilimia 12 kwa kaya maskini   nchini.

Zoezi hili la uhakiki linafanyika kutekeleza agizo la Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli wakati alipotoa agizo februari mwaka huu kwamba kabla ya shughuli zozote za kipindi cha pili kuanza, uhakiki wa walengwa ufanyike  kote nchini ili kuondoa kaya zote za walengwa ambazo zimepoteza sifa .

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.