• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Zoezi la ukusanyaji wa taarifa za anuani za makazi zaanzaa Mkuranga

Posted on: March 30th, 2022

MKUU wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nasri ametoa wito kwa wataalamu na wasimamizi wa zoezi la anuani za makazi kuhakikisha wanawabainisha wananchi ambao hawapo kwenye maeneo yao ili zoezi hilo lisije likahalalisha uharamu wa wananchi wanaoishi kwenye maeneo kinyume na taratibu.

Khadija ametoa wito huo wakati akizindua zoezi la anuani za makazi katika Wilaya hiyo lililofanyika kwenye mtaa wa boma ilipo ofisi ya Mkuu wa wilaya.

Amesema Wataalamu na wasimamizi wa anuani za makazi wanatakiwa kuendelea kubainisha wananchi ambao hawapo kwenye maeneo yao rasmi kwani wakirasimishwa kwenye zoezi hilo ina maanisha tayari tayari wamehalalishiwa makazi yao maeneo ambayo sio rasmi kwao.

Aidha ametoa agizo kwa wataalamu kutumia vizuri fedha zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kazi hiyo iweze kuka kwa wakati ikiwa ni pamoja na kutoa ushirikiano kwa vijana wanaofanya kazi hiyo katika maeneo ya kata na vijiji.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Jessy Mpangala amesema tatizo la kutokujua umuhimu na faida ni chanzo cha vikwazo kwenye zoezi hilo.

Jessy amewataka watumishi wa Halmashauri hiyo kutoa elimu kwa wananchi pindi wanapoenda kutekeleza majukumu yao ili kuondoa ugumu wa anuani za makazi.

"Ipo faida ya anuani za makazi ambapo biashara zinaweza kufanyika kwa urahisi kwa njia ya mtandao lakini pia inaimarisha ulinzi na usalama pamoja na ajira" ameeleza.

Mratibu wa anuani za Makazi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Denis Myovela amesema gharama za zoezi hilo nia sh. Miln 178,840.

Aidha amebainiha kuwa kati ya fedha hizo tayari wamepokea sh. Miln 81,629,248 kutoka serikali kuu na kwamba  kiasi kilichobaki sh. Miln 97,210,751.91 zitatoka kwenye mapato ya ndani.

Hamashauri hiyo imejipanga kumaliza zoezi la anuani za makazi mwishoni mwa mwezi April  na kujipamuda wa kufanya marekebisho kabla ya sensa ya makazi mwezi Agost.


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.