• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Elimu

TAARIFA YA HALI YA TAALUMA – ELIMU MSINGI

 MAFANIKIO 

Mafanikio ya taaluma katika Idara ya Elimu Msingi yaliyopatikana katika miaka miwili ni pamoja na:

  • Kuongezeka kwa kiwango cha ufaulu. Jedwali lifuatalo linaonesha hali ya ufaulu wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi katika miaka miwili ya 2016/2017. 
MWAKA
WALIOFANYA MTIHANI
WALIOFAULU
%
WALIOCHAGULIWA
%

WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML

WAV
WAS
JML

2016
2,460
3165
5625
1502
1880
3382
60.12
1502
1880
3382
60.12
2017
2832
3353
6185
1774
2213
3987
64.46
1774
2213
3987
64.46
























  • Kutekeleza mpango wa kukuza stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu-KKK (literacy and Numerical Education Support-LANES) kwa wanafunzi wa madarasa ya Awali, Msingi na wenye mahitaji maalum.
  • Kuhamasisha jamii na kufanya utambuzi wa watoto wenye mahitaji maalum
  • Kugawa vifaa vya kujifunzia kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu

MIKAKATI ILIYOCHANGIA KUINUA KIWANGO CHA TAALUMA

  • Kufanya ziara za mara kwa mara ili kufuatilia hali ya taaluma, vifaa na maendeleo ya shule
  •  Kufanya vikao na viongozi wa Elimu katika ngazi ya Shule, Kata na Klasta ili kuhimiza usimamizi wa utekelezaji wa Mitaala shuleni
  • Kutoa mafunzo na semina za masomo mbalimbali kwa walimu 339 walioko kazini
  • Kutoa motisha kwa walimu
  • Kurekebisha ikama ya walimu
  • Kutoa mazoezi na majaribio ya kutosha kwa wanafunzi

Elimu ya awali

Kuongezeka kwa madarasa ya Elimu Awali kutoka 99 mwaka 2015 mpaka kufikia  107 mwaka 2017

Kuongezeka kwa uandikishaji kutoka 3442 mwaka  2015 mpaka kufikia 4360 mwaka 2017 na 4447 mwaka 2016.

Elimu ya msingi

Ongezeko la uandikishaji kutokana na Kutangazwa kwa Elimu Bure.

Jedwali namba 1 linaonyasha Hali ya uandikishaji wa watoto Darasa la Kwanza kutoka 2015.

Jedwali 1:  Hali ya Uandikishaji wa watoto Darasa la Kwanza

mwaka

maoteo

waliandikishwa

Asilimia

2015

10,623

10561

99

2016

10725

15144

141%

2017

10904

13196

121%





Kuongezeka kwa mahudhurio ya wanafunzi kutoka 53105 mwaka 2015,60755 mwaka 2016 na 65847mwaka 2017

Elimu Maalum:-

Kuimarika kwavitengo vya Elimu maalum na Elimu Jumuishi. Hadi mwaka 2017  wilaya ina vitengo  vinne (4) vya elimu maalum katika shule za msingi na shule zote 124 za msingi zinazoendeshwa kwa mfumo wa elimu jumuishi; unaojumuisha wanafunzi wenye ulemavu wa akili na kusikia (viziwi).

 

1.4. MIUNDOMBINU YA SHULE ZA MSINGI

Ongezeko la miundombinu  katika shule za msingi

             Mwaka 2015 kulikuwa na  madarasa  682, .  Mwaka  

             2017 mahi  madarasa yaliyopo ni 761 .

Ongezeko la shule kutoka 116 mwaka 2015 mpaka kufikia 124 mwaka 2017

Ongezeko la nyumba za walimu kutoka 241 mpaka kufikia 246 mwaka 2017

Ongezeko la.        Matundu ya Vyoo kutoka 1,041Mwaka 2016 kufikia matundu ya vyoo 1163 mwaka 2017

Ongezeko la Madawati kutoka  12,075 kufikia  madawati 19409 mwaka 2017.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • SILAA AELEKEZA TCRA KUFIKA RADDY FIBER MKURANGA

    June 18, 2025
  • RC KUNENGE AIPONGEZA MKURANGA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • UWT YAZINDUA KAMPENI YA UTOAJI ELIMU ILANI YA CCM

    June 11, 2025
  • PROFESA NAGU APONGEZA HUDUMA ZA MAABARA MKURANGA

    June 05, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.