• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

SIKU 100 ZA MAMA SAMIA DC MKURANGA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: November 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali tarehe 26, Novemba amefanya ziara ya kukagua miradi miwili mmoja ukiwa ni wa ujenzi wa jengo jipya ya ukumbi wa kisasa pamoja na mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Mwandege

Mradi wa kwanza kuutembelea ulikuwa ni wa ujenzi wa ukumbi wa kisasa wa Mikutano ambao mpaka sasa umetengewa kiasi cha shilingi Bilioni 1.63 ambao unatekelezwa katika Kijiji cha Mkwalia Kata ya Mkuranga.

kwa fedha za mapato ya ndani kwa utaratibu wa Kandarasi

Aidha mradi huo wa ukumbi wakisasa utakuwa na uwezo wa kuchukua watu wasiopungua 600 kwa wakati mmoja na ukumbi mdogo utakaoweza kuchukua watu 40 sambamba na hilo utakuwa na vifaa maalum vya Teknolojia na mawasiliano kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano wakati wa Mikutano au vikao.

Mradi mwingine aliokagua ni ule wa ujenzi wa kituo kipya cha Afya  kinachojengwa Kijiji cha kipala Mpakani ambacho kimetengewa kiasi cha shilingi Milioni 200.5 ikiwa zimepokelewa kutoka Serikali kuu.

Fedha hizo zimepangwa kutekeleza ujenzi wa jengo la OPD, matundu matano ya vyoo na kichomea Taka cha kisasa ambapo ujenzi huo unatarajia kukamilika mwezi wa 12 Mwaka huu.

Awali akiwa katika eneo la ujenzi wa Kituo hiko cha Afya Mkuu wa Wilaya amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Waziri kombo pamoja na wataalamu wa Afya kujipanga mapema kwani Kituo hiko kikikamilika kuna uwezekano mkubwa kuhudumia na wananchi kutoka Dar es Salaam

Sambamba na hilo ameelekeza kulinda mipaka ya eneo hilo kwa kulitafutia hati pamoja na kuwa na mpango mzuri wa matumizi sahihi ya ardhi utakaowezesha kupanga majengo mengine mara fedha nyingine zitakapokuja.

Ziara hii ni mwendelezo wa ziara za Mkuu wa Wilaya kukagua na kuona utekelezaji wa miradi ya maendeleo  Wilayani Mkuranga ikiwa ni ndani ya siku 100 za Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan




Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 JIMBO LA MKURANGA October 18, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA MAMA SAMIA DC MKURANGA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    November 26, 2025
  • MKURANGA WATEMBELEWA NA MJUMBE WA TUME

    October 24, 2025
  • DC WAKABIDHI VYOMBO VYA USAFIRI KWA VIKUNDI.

    October 16, 2025
  • DED MKURANGA AWAPONGEZA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKURANGA

    October 08, 2025
  • Tazama vyote

Video

DC MKURANGA AKAGUA UJENZI WA UKUMBI WA KISASA WA GHOROFA MKURANGA NA KITUO KIPYA CHA AFYA MWANDEGE
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.