• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Historia

TAARIFA FUPI YA WILAYA (DISTRICT PROFILE)

 

1.1       MAHALI ILIPO

Wilaya ya Mkuranga ni mojawapo kati ya Wilaya 9 za Mkoa wa Pwani.  Ipo katikati ya latitude 6o.35 o na 7o.15o Kusini mwa Ikweta; na Longitudi 38o.15o na 39o.30o Mashariki mwa Meridian. Wilaya ya Mkuranga inapakana na Wilaya ya Temeke kwa upande wa Kaskazini, Ilala upande wa Kaskazini Magharibi kwa upande wa Kusini inapakana na WIlaya ya Wilaya ya Kibiti, Upande wa Mashariki inapakana na Bahari ya Hindi na upande wa Magharibi inapakana na Wilaya ya Kisarawe. Wilaya ya Mkuranga ina ukubwa wa eneo la Km. za mraba 2,432 kati ya hizo Km. za mraba 447 ni za maji (Bahari ya Hindi) na Km. za mraba 1985 za nchi kavu ambapo eneo la km. za mraba 1934 linafaa kwa kilimo.

HALI YA HEWA NA SURA YA NCHI

Wilaya ya Mkuranga ipo katika ukanda wa mashariki mwa Pwani ya Bahari ya Hindi.  Hali ya hewa ni ya kuridhisha, Wilaya hupata mvua katika vipindi 2 kwa mwaka.  Kipindi cha Novemba hadi Desemba (Vuli) na kipindi cha mwezi Machi hadi Juni (Mvua za Masika).  Kwa wastani Wilaya hupata mvua kati ya mm.800 hadi mm.1,000 kwa mwaka na wastani wa nyuzijoto 28o.

IDADI YA WATU

Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya Taifa ya mwaka 2012, wakazi wa Wilaya ya Mkuranga ni 222,921 wakiwemo wanawake 108,024 na wanaume 114,897.  Ikiwa na ongezeko la watu la wastani wa asilimia 2.0 kwa mwaka.

UTAWALA

Wilaya  imegawanyika katika Tarafa 4, Kata 25, Vijiji vilivyosajiliwa 125 na Vitongoji 477. Mchanganua wa kiutawala na idadi ya watumishi imeoneshwa katika jedwali 1 na 2

Jedwali 1. Mgawanyo wa Kiutawala

MWAKA

TARAFA

KATA

VIJIJI

VITONGOJI

2005

4

15

101

452

2010

4

18

121

463

2015

4

25

125

477

Wilaya ya Mkuranga ina jumla ya Madiwani 35 kwa mchanganuo ufuatao:- Mbunge wa kuchaguliwa mmoja (1), Madiwani 25 wa kuchaguliwa na Madiwani 8 wa Viti Maalum. 

Jedwali 2. Hali ya Watumishi kwa kipindi cha miaka   sita (6)

MWAKA
MAHITAJI
WALIOPO
UPUNGUFU
2009
1513
1319
194
2010
2,057
1,644
413
2011
2,057
1,661
396
2012
2315
2014
301
2013
2353
2089
264
2014
2555
2302
253
2015
2929
2623
306
2016
3506
2719
787

SHUGHULI ZA KIUCHUMI ZA WAKAZI WA WILAYA YA MKURANGA.

Kilimo ni shughuli kuu ya kiuchumi kwa wananchi wa Wilaya ya Mkuranga.  Inakadiriwa kuwa kiasi cha 85% ya wakazi wa Wilaya ya Mkuranga wanajishughulisha na Kilimo hususan kilimo cha Korosho, Nazi na aina mbalimbali za matunda kama mazao ya biashara.  Kiasi cha wakazi waliobaki 15% hujishughulisha na shughuli nyingine zikiwemo, Uvuvi, Uvunaji wa mazao ya misitu, Biashara ndogo ndogo na ajira za ofisini.

Tofauti na mazao ya biashara, wakazi wa Wilaya ya Mkuranga hujishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula kama vile Muhogo, Mpunga, Mahindi, Viazi vitamu na mazao ya jamii ya kunde. 

2.1       HUDUMA ZA JAMII

Huduma za jamii zilizomo Wilayani ni pamoja na elimu iliyotolewa katika Shule za Msingi 116,(kati ya hizo Shule 111 ni za Serikali na 5 ni za binafsi). Shule za Sekondari 33, kati ya hizo 22 ni za Serikali na 11 ni za binafsi.Vituo 42 vya kutolea huduma ya Afya, na huduma ya usambazaji wa maji safi na salama inayotolewa katika vikao asilimia 54 ya wakazi wote wanaokadiriwa kufikia 223,573.Aidha, Kufikia mwezi Julai, 2015, huduma hizi za jamii bado zinatolewa kwa kiwango cha chini ya mahitaji kutokana na uwezo mdogo kifedha na miundo mbinu hafifu/duni iliyopo Wilayani hivi sasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • SILAA AELEKEZA TCRA KUFIKA RADDY FIBER MKURANGA

    June 18, 2025
  • RC KUNENGE AIPONGEZA MKURANGA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • UWT YAZINDUA KAMPENI YA UTOAJI ELIMU ILANI YA CCM

    June 11, 2025
  • PROFESA NAGU APONGEZA HUDUMA ZA MAABARA MKURANGA

    June 05, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.