• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKURANGA WATEMBELEWA NA MJUMBE WA TUME

Posted on: October 24th, 2025

Tukielekea kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, Mkuranga imebahatika kutembelewa na mjumbe wa Tume huru ya Uchaguzi Mhe. Balozi Omari Mapuri. 

Akizungumza na wasimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Wilaya Oktoba 24, 2025 katika ofisi ya Msimamizi wa uchaguzi Wilaya amesema anataka kuona Uchaguzi unafanyika vizuri na wenye kufuata Sheria, kanuni na taratibu ziliwekwa. 

Amesema wasimamizi wote wanatakiwa kusimamia haki kwa kumtangaza mtu yoyote ambaye ameshinda kwa kura nyingi katika eneo husika la kupiga kura. 

Aidha ameshukuru na kupongeza baada ya kusikia Mkuranga hadi sasa maandalizi ya Uchaguzi yanaendelea vizuri na kuwasihi wasimamizi husika kuendelea kusimamia haki na taratibu katika zoezi zima la Uchaguzi mpaka kukamilika kwake. 

Mhe. Mapuri amefanya ziara hiyo kwa lengo la kujionea maandalizi ya Uchaguzi na anatarajia kuendelea na ziara hiyo Mkuranga Oktoba 25 hadi 26, 2025 kwa ajili ya kuona namna mafunzo kwa Wasimamizi na makarani yanavyoendeshwa.


Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 JIMBO LA MKURANGA October 18, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MKURANGA WATEMBELEWA NA MJUMBE WA TUME

    October 24, 2025
  • DC WAKABIDHI VYOMBO VYA USAFIRI KWA VIKUNDI.

    October 16, 2025
  • DED MKURANGA AWAPONGEZA WATENDAJI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKURANGA

    October 08, 2025
  • CHANGAMOTO YA KUANDAA BAJETI NGAZI YA VIJIJI NA KATA ZAPATA UFUMBUZI

    October 08, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.