• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Secondary Education division

KAZI/SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU SEKONDARI

1.         Kurekebisha ikama ya Walimu ili kuboresha na kurahisisha utendaji kazi (ufundishaji) katika kuinua kiwango cha Taaluma.

2.         Kusimamia, kufuatilia na kuwezesha Walimu kwenda likizo na upatikanaji wa nauli zao.

3.         Kupanga mikakati ya utendaji na uwajibikaji katika kusimamia na kuinua kiwango cha taaluma kwa kufanya vikao na Wadau wa Elimu kama vile Wakuu wa Shule na Walimu.

4.         Kusimamia na kuwezesha upatikanaji wa fedha za Ruzuku ya kuendeshea Shule pamoja na kufuatilia na kusimamia matumizi ya fedha hizo kwa kushirikiana na Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu.

5.         Kuwezesha na kufuatilia upatikanaji wa gharama za mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi kwa Walimu ili kuongeza kiwango cha ufanisi kazini.

6.         Kufuatilia na kusimamia upatikanaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia Shuleni ili kuinua kiwango cha taaluma shuleni.

7.         Kuwezesha upatikanaji wa gharama za chakula cha Wanafunzi shuleni kwa (Shule za Bweni).

8.         Kusimamia na kufuatilia ufundishaji na ujifunzaji ili kuinua kiwango cha taaluma shuleni na ndani ya Halmashauri.

9.         Kufuatilia na kusimamia uendeshaji wa Mitihani ya Kitaifa ya Kidato cha II, IV,  na Vyuo vya Ualimu na Vyuo vya Ufundi ndani ya Wilaya.

10.       Kufuatilia uendeshaji na ufanyikaji wa Mitihani ya ndani kama vile Mitihani ya utamilifu na Mitihani ya mihula.

11.       Kuwezesha, kufuatilia na kusimamia ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali shuleni ili kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji katika Shule.

12.       Kusimamia na kufuatilia upatikanaji wa samani mbalimbali Shuleni.

13.       Kufuatilia na kuwezesha uboreshaji wa mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji ili yawe mazingira rafiki katika ufundishaji na ujifunzaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • SILAA AELEKEZA TCRA KUFIKA RADDY FIBER MKURANGA

    June 18, 2025
  • RC KUNENGE AIPONGEZA MKURANGA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • UWT YAZINDUA KAMPENI YA UTOAJI ELIMU ILANI YA CCM

    June 11, 2025
  • PROFESA NAGU APONGEZA HUDUMA ZA MAABARA MKURANGA

    June 05, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.