• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI

Posted on: August 29th, 2024

Baraza maalumu la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga tarehe 29 Agosti 2024 limekaa kwenye Ukumbi wa Flex Garden n0a kujadili taarifa za fedha za Halmashauri kwa Mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni 2024.

Miongoni mwa taarifa zilizowasilishwa ni pamoja na ile ya mapato na matumizi kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo Halmashauri ilikusanya kutoka vyanzo vyake vya ndani na vile vya ruzuku jumla ya shilingi Bilioni 67.9 na kutumia shilingi Bilioni 54.5 kwa matumizi ya mishahara na matumizi yote ya kawaida.

Akiwasilisha taarifa hiyo Mweka hazina wa Halmashauri hiyo Cornery Sima amesema fedha taslimu imeongezeka kutoka Shilingi Bilioni 3.3 Mwaka 2023 mpaka shilingi Bilioni 13.0 Mwaka 2024 ambayo imesababishwa na ongezeko la fedha za miradi ambayo fedha zake zilipokelewa mwishoni mwa Mwaka wa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Akichangia taarifa hiyo Adili Kinyenga Diwani wa Kata ya Mipeko amesema ufuatiliaji wa ulipaji wa kodi na ushuru wa Serikali uendelee kwa kuongezewa nguvu maeneo ya mijini ili kuweza kutekeleza miradi kwa ufanisi.

Nae Diwani wa Kata ya Kitomondo Zuberi Salum ameshauri kujitahidi kulipa madeni ya wadai ili kujenga imani na baadhi ya wananchi wanaofanya kazi za miradi mbalimbali na Halmashauri.

Akitoa Salamu za Serikali Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali amewaomba Madiwani wote wilayani humo kuweka agenda ya Ulinzi na Usalama katika vikao vya maendeleo ya Kata WDC.

Amesema kukiwa na usalama katika maeneo hayo utawarahisishia wananchi kutekeleza miradi yao ya maendeleo kwa uhakika sambamba na kusimamia ufanyikaji wa Mikutano na vikao vya kisheria katika maeneo yao.

Aidha amewaomba kuhakikisha kila mradi unaofikishwa katika Kata zao wananchi wapate taarifa kamili za ujio wa miradi hiyo ili waweze kuchangia kutekeleza miradi hiyo.

Akifunga Mkutano huo Mwenyekiti wa Baraza hilo Mohamedi Mwela ameahidi kushirikiana na wataalam kwa kupitia vikao watafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa na Serikali ili kuiwezesha Halmashauri hiyo kufanya vizuri.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.