• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC MKURANGA AAGIZA KUTEKELEZWA MAAGIZO YA KITAIFA

Posted on: February 1st, 2020

Viongozi wa  Vijiji na Kata ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wametakiwa kupanga mikakati endelevu ya kutekeleza maagizo mbali mbali ya kitaifa yakiwemo ya kutunza Mazingira kwa kushiriki katika mazoezi ya upandaji Miti .

Akizungumza kwenye Baraza la Ushauri Wilaya (DCC) Mkuranga lililokutana leo kwenye ukumbi wa Flex Garden Kiguza, Mkuu wa Wilaya Mkuranga Filberto Sanga alitaja kuwa mambo hayo ni pamoja na upandaji Miti na kushiriki kikamilifu katika usafi wa kila jumamosi ya mwisho wa mwezi.

Sanga akiiongoza Baraza hilo aliwataka Watendaji katika ngazi zote kuhakikisha miti yote ambayo inatarajiwa kutolewa bure  na TFS Wilayani humo inapandwa maeneo yote mashuleni na maeneo binafsi kwa lengo la kutunza Mazingira kama alivyoagiza Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ambapo amesisitiza kufanya hivyo pamoja na kutunza kumbukumbu.

Kiongozi huyo pia aliwataka Madiwani na Watendaji wahamasishe wananchi katika maeneo yao kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura ambalo linatarajiwa kuanza Februari mwaka huu ili wananchi hao waweze kutumia  haki yao kikatiba ya kushiriki kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao.

Aidha amesisitiza Watendaje wa Vijiji na Kata ambao ni walinzi wa amani kuhakikisha wanatimiza maadili ya kazi kwa kukaa kwenye vituo vyao vya kazi ili waweze kutoa huduma kwa wananchi kwa ukaribu zaidi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde akijibu swali la mmoja wa wajumbe wa Baraza hilo amesema Halmashauri tayari wamepima eneo linalotarajiwa  kujengwa Chuo cha Ufundi (VETA) katika Kijiji cha Shungubweni na wapo hatua za mwisho ya kupata hati lengo likiwa ni kuwaokoa vijana wanaokosa nafasi ya kujiunga na sekondari au kidato cha tano kukitumia chuo hiko sambamba kufaidika na uwepo wa Viwanda.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wametakiwa kuwachukulia hatua za kisheria vyama vyote vya msingi  (AMCOS) ambavyo wameshindwa kurudisha fedha hadi sasa baada ya  kuwadhulumu wakulima wa Korosho msimu uliopita.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.