• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC MKURANGA AFUTURISHA, AKIHAMASISHA UCHAGUZI

Posted on: June 2nd, 2019


Wananchi  wa wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani  wametakiwa kuweka kando utofauti wa vyama vya siasa badala yake wagombee na kupiga kura huku wakiweka mbele amani na tulivu kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa .

Akitoa salamu za serikali mbele ya waumini wa dini ya kiislamu sambamba na wananchi mbali mbali aliowandalia futari ofisini kwake mwishoni mwa wiki  Sanga alisema tukio hilo amelifanya ili kuleta ushirikiano .,umoja na mshikamano ndani ya jamii.

Aidha dc Sanga alitumia fursa hiyo kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastic na kumuagiza Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Mkuranga kuwasimamia  watendaji wa vijiji kutenga maeneo maalum ambayo wananchi wanatakiwa kusalimisha kabla ya hatua zaidi za kukabidhi (NEMC).

 “Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasimu Majaliwa hivi karibuni alitoa maagizo mpaka ifikapo june 1 ndio mwisho wa matumizi ya mifuko ya plastic,hivyo ni marufuku matumizi ya plastic na atakae kamatwa hatua kali zitachukuliwa dhidi yake” Alisema Sanga.

Aidha Sanga aliwageukia wafanyabiashara wadogo na watoa huduma  wadogo ambao mauzo ghafi yao hayazidi sh 4milioni  kwa mwaka wahakikishe wananua vitambulisho na kuvivaa ili kuepukana na mkono wa sheria hapo baadaye.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati  ya siasa Wilaya Ally Msikamo pamoja na kumpongeza Mkuu huyo kwa kuwa kutanisha wananchi kupitia futari  aliwataka wapiga kura kuwapima wagombea wenye maslahi binafsi kwa sababu wanatisha kama ukoma.

Akimsomea dua  Mkuu wa Wilaya akisaidiwa na waumini wengine Sheikh Mkuu wa Wilaya Almasi Mzee alimpongeza Sanga huku akimnukuu Mtume Muhamad( swa) aliyasema mtoaji  zaidi kuliko  wengine apewe heshima  kuliko wengine na kuweka bayana watafurahi akipanga zaidi nafasi yake aliyonayo kwani bado wanamuhitaji.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.