• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Waziri Faustine Ndungulile azindua Zahanati ya Mkanoge Mkuranga

Posted on: December 27th, 2017

Naibu waziri wa Afya Maendeleo Ya jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Faustine Ndungulile amesema Serikali inatarajia kuandaa mswada ambao utamtaka kila mwananchi kuwa na Bima ya afya ili kuepuka adha ya matibabu.


Akizungumza wakati wa uzinduzi wa zahanati ya kijiji cha Mkanoge Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Ndugulile alisema utaratibu huo unatarajia kuanza rasmi mwakani na wakati utakapofika bima ya afya haitakua hiyari tena.


Aidha amewaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa Serikali kwa kutoa taarifa wanapoona Dawa zilizo andikwa msd GOT kwani alama hiyo ni kuonesha dawa hizo ni mali ya umma na zikionekana kwa watu binafsi zinakua zimeibwa.


"Bajeti ya dawa imeongezeka mara dufu kutoka 30 bilion mwaka ulopita hadi 270 mwaka huu, nina simama kifua mbele kutangaza kua hatuna shida ya dawa" alisema.


Amewaahidi wanakijiji hao kuwa zahanati hiyo itafunguliwa akaunti bohari kuu ya dawa (msd) ili iweze kupatiwa dawa moja kwa moja ili kuboresha huduma.


Hata hivyo wananchi wameombwa kujiunga katika mfuko wa afya ambao utasaidia kupunguza gharama za matibabu kwa jamii.


Mwanahawa Athuman alisema ufunguzi wa zahanati hiyo iliyo kamilika kwa milioni 100 itakua ni mwarobaini wa kudumu wa tatizo la afya kijijini hapo lililodumu kwa miongo kadhaa kwani Awali hakukua na huduma za afya na watu walilazimika kutembea umbali wa kilomita zaidi ya kumi kufuata huduma za afya.


Alisema wanawake walikuwa wanajifungua kwa njia za asili na baadhi hujifungua njiani wakielekea hospitali vijiji vya jirani.


Akizungumza katika ufunguzi huo Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filbeto Sanga amewasihi wazazi kuhakikisha watoto waliofikisha umri wa kwenda shule waende ili kuwepo na wataalamu wa afya ambao ni wazawa.


Alisema wazazi wakihimiza watoto kusoma wilaya hiyo, kijiji hicho kitakua na wataalamu wa kutosha hivyo kumaliza tatizo la ukosefu wa wataalamu wa afya.


Pia amewaomba wananchi kutokuuza chakula chao badala yake kukihifadhi kwa matumizi ya badae kwani kwa kufanya hivyo nikujiweka katika hali mbaya ya uhitaji wa chakula.


"Ulinzi wa Wilaya yetu upo mikononi mwetu hivyo ni jukumu letu kuhakikisha tunadumisha ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa kuhusu wageni wanaofika bila taarifa au tunao watilia shaka, alisema.


"Kila mmoja wetu ni lazima kuhakikisha usalama na kipindi cha kuchekeana na kuvumiliana kimeshapita" aliongeza


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.