• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

'Lionsgate club International' yajitolea kwa wananchi wa Mkuranga

Posted on: October 27th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga  Filberto Sanga ameishukuru na kuipongeza taasisi ya ‘Lions Club International’ kwa kazi kubwa zinazofanywa na taasisi hiyo kwa kujitolea kutoa huduma ya matibabu mbali mbali bure kwa wakazi wa Mkuranga

Sanga ameyasema hayo akifungua zoezi  la utoaji wa huduma ya upimaji wa macho kwa wakazi wa Mkuranga zoezi ambalo limefanyika katika Hospitali ya wilaya ya Mkuranga  ambapo pamoja na kutolewa huduma hiyo ya macho taasisi hiyo pia imefanikiwa kuwapima wakazi hao magonjwa ya sukari, shinikizo ladamu na utapia mlo kwa watoto na watu wazima.


Pamoja na hayo mkuu wa wilaya pia aliwashukuru kwa kutoa dawa bure na miwani kwa watu watakaogundulika na matatizo hayo na kuwataka kuendelea na moyo huo na kuwaomba wadau wengine kuiga mfano huo huku akiwataka kuongeza muda zaidi wa kutoa huduma hiyo sambamba na kuwataka wananchi kuwapa taarifa wenzao wanakoishi ili nao waweze kupata matibabu hayo kutoka katika taasisi hiyo ya lions club International.

Aidha Sanga amesema  kwa mkuranga maeneo yapo mengi hivyo club hiyo wajiandae na kuja kupanga ni maeneo gani ewataona yanawafaa kwa ajili ya kujenga miundo mbinu mbalimbali itakayokuwa msaada kwa wananchi wa  Mkuranga ikiwamo kituo cha afya na viwanja vya michezo  

Kwa upande wake mkuu wa club hiyo kwa bara la Afrika Sayed Rizwan, alimshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuwakaribisha na akaonesha kuridhika kwake na muitikio wa wananchi wa mkuranga, pia akaahidi zoezi hilo litakua endelevu huku akiahidi kutoa dawa na miwani bure kwa wote watakaogundulika na matatizo mbalimbali na wale watakaohitajika tiba zaidi nje ya wilaya club hiyo itagharamia kila kitu kwa huduma huduma hiyo.

Katika zoezi lililofanyia katika Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga Lions Club International ikishirikiana na clubs nyingine nane wamefanikiwa kutoa huduma ya Macho, Kisukari, Shinikizo la damu na hali ya Lishe kwa watoto na watu wazima.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.