• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MAFUNZO YA UFUGAJI YALETA CHACHU MKURANGA.....

Posted on: July 8th, 2020


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani  amewataka wajasiliamali wanaojisughulisha na ufugaji wa kuku wa kisasa kueneza elimu wanayoipata kwenye mafunzo ambayo yanatolewa na wakufunzi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Wakala wa vyuo vya mafunzo na mifugo-LITA) yaliyofanyika leo katika ukumbi uliopo katika ofisi za Mkuu wa Wilaya Mkuranga

“Natoa shukrani kubwa  kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, jambo la utoaji wa mafunzo ya ufugaji wa  kuku ni jambo kubwa na nadhani mnatambua ni jambo la gharama sana, ukiona Serikali inagharamia jambo ni kwa kuwa lina  umuhimu wake katika ustawi wa wananchi waliokusudiwa hivyo muwe mabalozi katika kusambaza Elimu mnayoipata hapa ili iwe na tija kwa wananchi wote ili kuweza kuyafanya maisha yetu kuwa bora lakini pia kupata kipato cha kijikimu na kufanya maendeleo yaayoonekana  kwenye jamii” alisema..

Aidha Mhandisi  Munde  alitoa pongezi kwa Naibu waziri na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mh. Abdallah Ulega kwa kueleza wazi kuwa Mbunge amekuwa mstari wa mbele sana kuhakikisha wananchi waliompa dhamana ya kuwaongoza wanafanya shughuli zinazowaingizia kipato na hivyo kupitia wizara anayoifanyia kazi amekua akishirikiana na wakufunzi kuwataka kuja mara kwa mara kutoa elimu kwa wananchi wa Mkuranga juu ya ufugaji wa kuku kwa njia bora na za kisasa ili kuwawezesha kuinua kipato chao.

Naye Mkurugenzi wa Utafiti  Mafunzo na Ugani kutoka wizara ya mifugo na uvuvi, Dr. Angello Mwilawa alisema anawashukuru sana kwa kutekeleza mambo makubwa yanayohusiana na sekta ya mifugo na uvuvi katika tasnia mbali mbali  lakini kuhusiana na nyama, mayai na upande wa samaki na ushahidi umekuwepo

Mwilawa aliongezea kwa kusema wizara ya mifugo na uvuvi imekua ikihamasisha ufugaji bora kwa wafugaji mbali mbali nchi nzima na hivyo kila sehemu kumekua na mikakati mbali mbali ya kuwezesha kufikia malengo waliojiwekea , hivyo kwa upande wa Mkuranga sehemu ya malengo ni pamoja na kutoa elimu mara kwa mara ili kuwajengea uwezo na hatimaye kufanikisha lengo la kuwa na wafugaji wa kisasa ambao watakua wanazalisha mifugo ambayo itakua na  tija kwenye soko na hatimaye kupata kipato ambacho kitasaidia kuleta maendeleo mbali mbali kuanzia ngazi ya familia mpaka Nchi kwa ujumla wake..

Nyanza Mshoke,  mmoja kati ya wanakikundi waliohuduria kwenye mafunzo hayo alisema anawashukuru sana Mh. Mbunge Jimbo la Mkuranga,  Mkurugenzi Mtendaji ambaye ndiye msimamizi wa miradi ya maendeleo na wakufunzi wote kutoka wizarani  kwa kutoa  elimu  bila  kuchoka  tena kwa nyakati tofauti.

“Wananchi  wa Wilaya ya Mkuranga si wafugaji wa ngombe,  mbuzi  wala kondoo, isipokua kuku hivyo nafikiri hii ni sehemu pekee Mh Mbunge ametufanyia  kuanzia sasa watendaji wa  Wizara na Mh. Mbunge mjikite kutusaidia kwenye ufugaji wa kuku, mtupe elimu ya kutosha ili tutoke kwenye mawazo ya kuku ishirini tuliozoea kufuga kufikia kiasi cha kufuga kuku wengi ambao watatumika kama kitoweo kwenye familia, lakini  watatumika kama sehemu ya kujiingizia  kipato kitakachotumika kuleta aendeleo katika familia zetu” alisema.

Mafunzo haya yanatarajiwa kufanyika kwa mda wa siku mbili na takribani jumla ya vifaranga  vya kuku 1200 vinatarajiwa  kugaiwa  katika  vikundi mbali mbali vilivyo hudhuria mafunzo hayo …

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.