• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mbunge Ulega atoa Pikipiki 45 kwa vijana wa Mkuranga

Posted on: November 22nd, 2018

Katika kupambana na tatizo la ukosefu wa ajira nchini Mbunge wa Mkuranga ambaye pia ni Naibu  Waziri wa mifugo na uvuvi Mhe. Abdalah Ulega amewezesha kupatikana jumla ya pikipiki 45 kwa umoja wa vijana wa kikundi cha ‘Mkuranga Kwanza 2018’ wilayani hapa.Akikabidhi pikipiki hizo kwa vijana hao kwa niaba ya Mbunge huyo, Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filberto sanga aliwataka vijana hao kuhakikisha wanazitumia pikipiki hizo maarufu kama Bodaboda kwa malengo yaliyokusudiwa na si vinginevyo. “siku zote huwezi kufanya mambo yakafurahisha watu wote , kuna watu  walikuja kwa lengo la kujaribu na wale waliokuja kwa nia njema na wale wote waliokua na mashaka nadhani sasa wote mmeshuhudia kwamba haikua ahadi hewa”  alisema mkuu huyo wa Wilaya Pikipiki hizo zimetolewa kwa mkopo nafuu kwa vijana hao, ikiwa ni juhudi  za mbunge wa jimbo hilo kushirikiana na benki ya Equity waliotoa mkopo kwa vijana hao pamoja na mzalishaji wa pikipiki hizo aina ya HAOJOE na SANLG kiwanda kilichopo eneo la kisemvule wilayani hapa.“Vijana hao wamepewa mkopo wa riba nafuu hii ni baada mbunge kubaini  vijana hao walikua wanakopeshwa pikipiki kwa muda wa miezi 12 na anatakiwa afanye rejesho la Tsh10,000/=  kila siku ambayo ni sawa na Tsh.3, 600,000/=  kwa mwaka,  ndipo mheshimiwa mbunge akaona atoe fursa hiyo ambaya jumla ya marejesho inafikia bei ya kiwanda kiasi cha Tsh2, 150,000/= tu” alisema Katibu wa Mbunge huyo Bwana Omary Kissatu akimuwakilisha Mbunge huyoWadau wa maendeleo waliyani haapo walipongeza juhudi za mbunge huyo na kuwaasa vijana hao kutumia fursa hiyo kujikwamua kiuchumi  “tuna wabunge zaidi ya 300 nchii nzima,l,akini ukifanya utafiti utagundua ni wabunge wachache wanaowakumbuka kwa vitendo wapiga kura wao, na mmoja wapo ni mheshimiwa Abadalah Hamis Ulega” Alisema Muhidin Abdalah Diwani wa MkurangaKwa upande wake kamanda wa Polisi Wilaya ya Mkuranga (OCD) John Marro, mbali na kupongeza jitihada hizo aliwataka vijana hao kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani. Huku wanufaika wa msaada huo Abdalah Ninda na Ally Maega wakiongea baada ya kukabidhiwa pikipiki hizo walipongeza suala hilo na kumtaka mbunge huyo kuwatafutia fursa zaidi ili waendelee kupiga hatua zaidi za kimaendeleo

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.