• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuranga wajipanga kukusanya kodi zinazolipwa Dar es salaam

Posted on: March 4th, 2020

Baraza la Madiwani linalouunda Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani limeazimia kuundwa kwa Kamati maalum itakayoshughulikia kero Migogoro ya Mipaka sambamba na baadhi ya Viwanda ambavyo vinazalisha bidhaa Wilayani humo lakini Kodi za Huduma wanalipa Dar es salaam.

Akizungumza kwenye Baraza hilo lililofanyika jana katika ukumbi wa Flex Garden Mkuranga, Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mifugo na uvuvi Abdallah Ulega ameweka bayana mkakati huo wa ufuatiliaji wa kina umelenga Viwanda vyote (86) vilivyopo ndani ya Halmashauri hiyo vilipe ushuru hatimaye waweze kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashari hiyo, Mhandisi Mshamu Munde amesema tume hiyo ambayo itakuwa na mchanganyiko wa baadhi ya Madiwani na wataalam itashughulikia Migogoro ya Mipaka inayohusisha Wilaya za Kibiti, Kisarawe, Ilala na Kigamboni kwa kukutana na Waziri mwenye dhamana William Lukuvi na kumuomba kufika Mkuranga ili kusaidiana nae na hatimaye kumaliza Mgogoro huo.

Akitoa salamu za Serikali Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga amewataka Madiwani kuchukua Tahadhari katika kipindi hiki cha Mvua kuwa mabalozi  wazuri katika Kata zao kuwaeleza wananchi wawe makini wanapovuka mito inayopitisha Maji sambamba na kuwazuia watoto wa shule hadi hapo hali itakapokuwa sawa.

Na katika kuhakikisha Ujenzi wa Kituo kikubwa cha polisi wilaya ya Mkuranga kinakamilika baada ya kusimama kwa Muda, Madiwani wa Baraza wamemtaka Mkuu wa Polisi Wilayani humo kuandaa bajeti na kuiwasilisha kwao ili waweze  kuendelea kuchangia ujenzi huo.

Akifunga kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri Juma Abeid aliwaomba Madiwani wenzake kutumia muda uliobaki kabla ya uchaguzi Mkuu kusimamia pesa zinazotumwa kwenye Kata zao zinalingana na ubora wa Miradi husika.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.