• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKURANGA YASHEREHEKEA MIAKA 61 YA UHURU

Posted on: December 10th, 2022

Mkuu wa Wailaya ya mkuranga Mkoa wa Pwani Khadija Nasri Ali amempongeza Mh. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutatua changamoto sugu ya ujenzi wa Barabara ya Lami kwenda Bandari Kongwe Kisiju kwa kuwaletea Pesa za Kujenga Kilometa 11.

Ameyasema hayo akiwa katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru kwenye  viwanja vya Shule ya Msingi Miteza Wilayani Mkuranga na kutoa shukrani kwa viongozi mbalimbali ndani ya Wilaya hiyo bila ya kumsahau Mh. Mbunge wa jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega

Aidha kiongozi huyo wa Kamati ya Ulinzi na Usalama aliweka bayana pongezi kwa Marais Wastaafu kwa kuwatoa kwenye mnyororo wa ukandamizaji na kudumisha amani na utulivu ambao ni msingi wa Maendeleo sambamba na kuweka wazi uboreshaji wa sekta ya Elimu ambayo inawafanya vijana wapate ajira mbalimbali viwandani.

Akitoa ushuhuda wa Mwasisi wa CCM na serikali ya Hayati Mwl. Nyerere Mzee Maarufu Kijiji cha Miteza Kata ya Njia nne aliweka bayana Hayati alifanya ziara wilayani Mkuranga kutembelea vijiji 42 zamani wakiwa Wilaya ya Kisaraweakianzi Kijiji chao Wazee maarufu akiwemo Mzee huyo wkamwomba sehemu ya eneo la wekezaji Habibu kupitia Baba wa Taifa akawapa wakajenga Shule ya Msingi ambayo hadi leo ipo.

Akitoa salamu za HAlmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mwantum Mgonja amesema wametoa mikopo ya wajasiriamali milioni 220 na katika Sekya ya Elimu amempongeza Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea Kiasi cha Shilingi Bilioni 2.64 kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa 132 yatakayowezesha kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Mwakani.

Kauli mbiu ya Mwaka huu katika kuadhimisha miaka 61 ya Uhuru ni “Amani na Umoja ni Nguzo ya maendeleo yetu”.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.