• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

ULEGA AWALETEA FURSA ZA UFUGAJI MKURANGA.

Posted on: June 3rd, 2019

       

Wananchi wa Wilaya ya Mkuranga Mkoani  Pwani wametakiwa kuyatumia mafunzo ya ufugaji wa kisasa hatimaye wajikwamue kiuchumi sambamba na kupaisha mapato ya Halmashauri ya Wilaya 

Akifungua mafunzo ya wafugaji wa Wilaya hiyo kwenye ukumbi wa Flex Hotel  leo, gNaibu Waziri wa mifugo na uvuvi Abdalla Ulega  aliwataka washiriki wawe wasikivu na kuwa mabalozi kwenye vitongoji hadi  vijiji

Aidha Ulega  alitumia fursa hiyo kumpongeza  Waziri  Luhaga  Mpina  kwa kuichagua wilaya hiyo ambayo yeye ni  Mbunge kutoa elimu ya ufugaji bora

Aidha ulega amewataka wananchi wajikite kwenye ufugaji  kama mbadala  wa kilimo cha korosho , huku akishukuru  wizara kwa kuichagua  wilaya hiyo kuwa kituo cha uksanyaji  maziwa kwa kanda sambamba na kiwanda cha chakula cha mifugo ambacho malighafi yake ni mihogo

Mbunge huyo wa jimbo la Mkuranga alitaja fursa nyingine ni ujio wa Benki ya kilimo ambayo itakopesha  vikundi  vya wafugaji na wavuvi kwa masharti nafuu

Awali  Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Wilaya Mhandisi Mshamu Munde alishukuru  ujio wa wataalamu toa wizarani huku akiweka bayana viwango ardhi ya kutosha kwa ajili ya viwanda mbalimbali vinavyotoa fursa kwa wakulima na ufugaji

Akizungumza wakati wakufunga mafunzo hayo mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filbeto Sanga alisema anaishukuru wizara kwa kuleta mafunzo hayo  kwani inawezekana ikawa muorobaini wa wafugaji kahamahama na kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji  katika wilaya hiyo .

Aidha aliwataka washiriki wawe na utayari kwani soko la uhakika la kuuza maziwa, nyama na mihogo lipo tayari

Akimalizia aliiomba serikali iwafikirie kuwapa msitu wa masanganya ambao utakuwa tiba katika migogoro ya wafugaji na wakulima

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.