• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANUFAIKA WA TASAF WAJIINUA KIUCHUMI

Posted on: September 22nd, 2022

Mratibu wa TASAF Wilaya ya Mkuranga Bi.Safina Msemo akiambatana na Afisa Ufuatiliaji Ndugu Kelvin Simon pamoja na Afisa Biashara ndugu Maiko Mpupua wamefika katika Kijiji cha Kiparang'anda A na kukagua shughuri ya utengenezaji wa mafagio ya chelewa kwa kikundi cha UMOJA NI NGUVU ambao ni wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini TASAF.

Kikundi hicho chenye  jumla ya kaya 11 kilianzishwa mwaka 2021 chini ya Mpango wa kuweka akiba na kuwekeza. Aidha kikundi hiki  kiliwezeshwa na TASAF na kupewa elimu ya utengenezaji wa mafagio ili kuweza kujikomboa kiuchumi na kutokuwa tegemezi katika jamii zao.

Kupitia kikundi hicho walengwa wameweza kupata mafanikio mbalimbali ikiwemo baadhi ya wanachama wemeweza kuanzisha ujenzi wa nyumba ya kisasa za makazi na kudumu tofauti na zile walizokuwa wakiishi hapo awali za asili.


Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WATENDAJI WA VIJIJI DARAJA LA III April 30, 2023
  • TANGAZO LA MWALIKO WA NUKUU YA BEI (KOTESHENI) July 19, 2023
  • TANGAZO LA MWALIKO WA NUKUU YA BEI (KOTESHENI) July 19, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI WA VIJIJI April 29, 2023
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • DC MKURANGA AKUTANA NA MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI

    September 14, 2023
  • MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWAJI WA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 21, 2023
  • DED Waziri kombo akabidhiwa ofisi Mkuranga

    June 15, 2023
  • Mkuranga yafanya Mnada wa Kwanza wa Ufuta

    June 14, 2023
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.