• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

WAZIRI, ZUNGU AFURAHISHWA NA ULIPAJI KODI LODHIA

Posted on: July 15th, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais  (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan  Zungu  leo amewahakikishia wawekezaji wa kiwanda cha Lodhia Group of Companies kuwa changamoto zinazowakabili za kukosa malighafi za kutengeneza bidhaa zinazotokana na chuma zinatatuliwa kwa wakati mara baaada ya kukaa na timu yake na kuweka mchanganuo wa jinsi ya kutatua changamoto hizo.

Akiongea katika ziara wakati alipotembelea kiwanda cha Lodhia alisema amepata taarifa za changamoto ya kukosa malighafi kutokana na matatizo ya kupanda kwa gharama za tozo kwa wauzaji wadogo wadogo wa chuma chakavu yanayoelekea kukwamisha upatikanaji wa vyuma chakavu ambavyo ndo malighafi pekee wanayotegemea katika utengenezaji wa bidhaa za chuma

“Lakini pamoja na yote nimefarijika sana kuona namna kiwanda kinavyofanya kazi vizuri pamoja na changamoto mnazokabiliana nazo mmekuwa wazalendo wa kulipa kodi za serikali kwa uaminifu mkubwa na hasa kwenye matumizi ya umeme mnalipa mpaka bilioni 6, kwa mantiki hii kiwanda  kinaonekana  kinafaya kazi vizuri hivyo sina budi kama serikali na muwakilishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano  wa Tanzania kufanya jitihada za wazi na haraka za  kutatua changamoto inayowakabli”

Akielezea changamoto zinazozikabili kiwanda hiko Mkurugenzi wa udhalishaji Ndg. Sculesh Pandit  amesema  uwezo wa tanuru yetu katika uzalishaji wa vyuma ni mkubwa kuliko malighafi ya chuma chakavu inayopatikana hapa nchini hivyo tunahitaji kuagiza malighafi ya chuma chakavu kutoka nje ya nchi  kwani Tanuru ina uwezo wa kuzalisha tani 8000 kwa mwezi kwa hiyo tunahitaji tani  9000 kwa mwezi lakini tunapata tani 2000 kwa mwezi alisema.

Pandit alisisitiza kuwa uingizaji wa chuma chakavu kama malighafi  ni muhimu kwa uhai wa viwanda vyetu hapa nchini ili kuzalisha billets zenye ubora wa hali ya juu hivyo basi tunaziomba mamlaka husika na serikali kurekebsha shera na kanuni na pia kupunguza urasimu usio wa lazima kwani chua chakavu inayopatikana hapa nchini ubora na viwango vya kutengeneza nondo aina TMT B500. (Thermo Mechanically Treated Steel)

Aidha  Pandit alieleza madhara yanayotokana na changamoto za kiwanda kusimama ni pamoja na  ukosefu wa ajira, mapato ya serikali kukosekana, na hivyo kupelekea mapato yanayotokana na kiwanda hiko kushuka

Pandit aliongeza kwa kusema  kuwa Lodhia ni kiwanda cha kwanza Tanzania kinachozalisha nondo ya milimita 40 B-500 ambayo inatumika kwenye miradi mikubwa ya ujenzi kama mradi wa daraja la Salender  na Nyerere Hydro Power.

Wakati akimalizia wasilisho la  hotuba yake Pandit alimpongeza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk. John Pombe Magufuli kwa kuanzisha sera ya Tanzania ya Viwanda , na ameomba taasisi zake ziwape ushirikiano wa karibu , kusikilizwa na kutatuliwa kwa changamoto zao kwa wakati.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.