Posted on: June 16th, 2022
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imeadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika katika viwanja vya shule ya Msingi Dundani katika kijiji cha Dundani Kata ya Mkuranga.
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe.Hadija N...
Posted on: June 14th, 2022
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bi.Mwantum Mgonja akiongozwa na timu maalum ya wataalam wamefanya kikao kazi pamoja na kukagua Mradi wa shule mpya ya Sekondari ya Shungubweni fed...
Posted on: June 8th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe.Aboubakar Mussa Kunenge ameshirika katika halfa ya makabidhiano ya majengo ya madarasa na ofisi yaliyofadhiliwa na shirika la Direct Aid Society Tanzania. Halfa hiyo imefanyi...