Posted on: June 7th, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe.Hadija Nasri Ali amekutana na wakulima wa zao la korosho katika zoezi la Parizi ya Korosho katika kitongoji cha Mitoboto kilichopo katika kijiji cha Mwarusembe .
...
Posted on: June 4th, 2022
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga yaadhimisha siku ya Mazingira Duniani katika eneo la soko kuu la Halmashauri.
Katika Maadhimisho hayo kumefanyika usafi wa nje ya Soko ukiongozwa na Mkuu wa Wilaya...
Posted on: June 3rd, 2022
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bi.Mwantum Mgonja leo Juni. 3.2022 amefanya kikao kazi na Maafisa Ugani wa kata 25 zilizopo ndani ya Wilaya hiyo kilichofanyika ukumbi wa Resou...