Posted on: December 6th, 2018
Diwani kata ya Tengelea ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga Mhe. Shaaban Manda amefanikisha kuanza kwa ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilometa 6 toka Kiguza mpaka Nyangolo
Akizungumza na ...
Posted on: December 3rd, 2018
Vijana ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga wametakiwa kuchangamkia fursa ya kilimo biasharana kuacha kukaa na kulalamika juu ya ukosefu wa ajira Maneno hayo yalisemwa na Mrabu wa vijana chini ...
Posted on: December 1st, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh Filberto Sanga amezitaka Halmashauri za Wilaya za Mkoa wa Pwani kuwa na sheria ndogo za kudhibiti Sherehe na shughuli mbalimbali zenye kuleta viashiria vya maamb...