Posted on: December 6th, 2022
Katika kuiendea siku ya maadhimisho ya sherehe za Miaka 61 ya uhuru, Watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga pamoja na vyombo vya usalama leo wameshiriki kufanya usafi katika Hospitali ya Wilay...
Posted on: December 4th, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga akiwakilishwa na Afisa Tarafa ya Mkuranga Clement Muya amevitaka Vikundi vitakavyonufaika na Mikopo ya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu kurejesha fedha hizo kwa wakati...
Posted on: December 1st, 2022
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga yaadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani tarehe 01/12/2022 katika Kijiji cha Shungubweni Wilayani Mkuranga na kuweka mpango madhubuti wa kuhakikisha agenda ya Ukimwi ...