Posted on: October 5th, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imetoa mafunzo kwa Kamati za Mikopo ngazi ya Halmashauri na Kata kuhusu utoaji na usimamizi wa mikopo kwa Vikundi vya wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu.
Mafunz...
Posted on: October 3rd, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali ameendelea na ziara ya kukutana na makundi maalumu ambapo October 2, 2024 amefika Kisiju Pwani na kukutana na wavuvi.
Katika ziara hiyo qmkuu wa Wilaya...
Posted on: September 27th, 2024
Wananchi wa Kata ya Mkuranga wamempongeza Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali kwa utendaji wake mzuri wa majukumu yake ambayo yamechochea kuleta maendeleo ndani ya Wilaya ya Mkuranga.
Pon...