Posted on: December 4th, 2019
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewataka wananchi wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani kuchangamkia fursa ya Nyuki ili waweze kujikwamua kiuchumi sambamba na kuboresha afya zao.
Akiz...
Posted on: December 3rd, 2019
Wakala wa usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Imeendesha mafunzo maalumu ya usajili wa watoto walio na umri chini ya miaka mitano (5) kwa watendaji wa kata na wawakilishi kutoka vituo vinavyotoa hudu...
Posted on: December 2nd, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga amewaagiza watendaji wa Kata wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani kutoa maelekezo kwa wananchi kutowaruhusu watoto wao kwenda shule kwa kipindi chote ambacho mvua...