Posted on: May 1st, 2022
Halamashauri ya Wilaya ya Mkuranga yameadhimisha siku ya wafanyakazi duniani ambapo kimkoa wa Pwani imefanyika katika Wilaya ya hiyo katika viwanja vya shule ya Msingi Juhudi iliyopo Kipala Mpakani.
...
Posted on: April 29th, 2022
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani limekutana kwenye kikao cha kawaida robo tatu limempongeza Afisa Mipango Bi.Kaunga Amani kwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa miundombi...
Posted on: April 25th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amefanya ziara ya siku moja katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga kwaajili ya kukagua miradi ya maendeleo ambayo Mwenge unatarajiwa kupita.Kunenge amefa...