Posted on: November 22nd, 2018
Katika kupambana na tatizo la ukosefu wa ajira nchini Mbunge wa Mkuranga ambaye pia ni Naibu Waziri wa mifugo na uvuvi Mhe. Abdalah Ulega amewezesha kupatikana jumla ya pikipiki 45 kwa umoja wa ...
Posted on: November 16th, 2018
Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Mhe. Filberto Sanga amewataka watendaji kata kuwa mabalozi wazuri wa elimu ya masuala ya lishe na kilimo cha viazi lishe
Sanga ameyasema hayo jana wakati akifungua mafunz...
Posted on: November 14th, 2018
Wakati Rais wa jamuhuri ya Muunganao wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiendelea kuwahakikisha wakulima wa zao la korosho kupata soko kwa bei ya zaidi ya shilingi 3000 kwa kilo moja iki...