Posted on: September 10th, 2021
Kamati ya Siasa Mkoa wa Pwani sambamba na kamati ya Siasa Wilaya ya Mkuranga leo Septemba 11, imefanya ziara ya kukagua mradi wa maji katika kijiji cha mwanambaya kilichopo Kata ya Mipeko
...
Posted on: September 7th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Khadija Nasri amewataka Madiwani wajikite zaidi katika kuwaletea maendeleo wananchi .
Akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani robo ya...
Posted on: September 5th, 2021
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Mohamed Mwela amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri Mwantumu Mgonja kwa kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Akifungua kikao cha Bara...